[2]Neno la kiarabu hapa ni murāqabah lenye maana ya kuangalia kwa makini, kutunza, kuchunga, kulinda n.k. Makusudio hapa ni kuwa na yakini kuwa Mwenyezi Mungu Akuona, akusikia na azijua harakati zako zote, yakini ambayo inamfanya mtu amuogope Mwenyezi Mungu.Kwa maelezo zaidi, ang. 'Uthaimīn,M.S. Sharh Riy,ād al-Sālihīn, Vol. I, P.324