Fassarar Ma'anonin Alqura'ni - Fassarar Sawahil - Ali Muhsin al-Barwani

external-link copy
7 : 67

إِذَآ أُلۡقُواْ فِيهَا سَمِعُواْ لَهَا شَهِيقٗا وَهِيَ تَفُورُ

Watakapo tupwa humo watausikia mngurumo wake na huku inafoka. info

Wakitiwa humo watasikia sauti mbaya ya kuchusha, na huo moto unatokota kwa ukali,

التفاسير: