Unamjua anaye kanusha malipo na hisabu ya Akhera?
Ukitaka kumjua basi ni huyo ambaye anaye msukuma yatima kwa nguvu, na anamtumilia mabavu, na anamdhulumu,
Na wala hahimizi kulishwa masikini.
Maangamio yatawashukia wanao sali na wakasifika kwa sifa hizi, na wakaghafilika na Swala zao wasinafiike nazo.
Maangamio yatawashukia wanao swali na wakasifika kwa sifa hizi, na wakaghafilika na Swala zao wasinafiike nazo.
Ambao huonyesha kwa watu vitendo vyao, ili wapate cheo katika nyoyo za hao watu, na wasifiwe.
Na huku wanazuia hisani zao na msaada wao kwa watu
GET / https://quranenc.com/api/v1/translation/sura/{translation_key}/{sura_number}
Description: get the specified translation (by its translation_key) for the speicified sura (by its number)
translation_key: (the key of the currently selected translation)
sura_number: [1-114] (Sura number in the mosshaf which should be between 1 and 114)
Returns: json object containing array of objects, each object contains the "sura", "aya", "translation" and "footnotes".
Example: https://quranenc.com/api/v1/translation/sura//1
GET / https://quranenc.com/api/v1/translation/aya/{translation_key}/{sura_number}/{aya_number}
Description: get the specified translation (by its translation_key) for the speicified aya (by its number sura_number and aya_number)
aya_number: [1-...] (Aya number in the sura)
Returns: json object containing the "sura", "aya", "translation" and "footnotes".
Example: https://quranenc.com/api/v1/translation/aya//1/1