قرآن کریم کے معانی کا ترجمہ - سواحلی ترجمہ - علی محسن البروانی

external-link copy
42 : 51

مَا تَذَرُ مِن شَيۡءٍ أَتَتۡ عَلَيۡهِ إِلَّا جَعَلَتۡهُ كَٱلرَّمِيمِ

Haukuacha chochote ulicho kifikia ila ulikifanya kama kilio nyambuka. info

Upepo huo haupiti kwa kitu chochote ila hukiacha kama fupa lilio nyambuka.

التفاسير: