Translation of the Meanings of the Noble Qur'an - Swahili translation - Rowad Translation Center

external-link copy
46 : 3

وَيُكَلِّمُ ٱلنَّاسَ فِي ٱلۡمَهۡدِ وَكَهۡلٗا وَمِنَ ٱلصَّٰلِحِينَ

Naye atazungumza na watu katika utoto wake na katika utu uzima wake, na atakuwa katika walio wema. info
التفاسير: