Translation of the Meanings of the Noble Qur'an - Swahili translation - Rowad Translation Center

external-link copy
119 : 26

فَأَنجَيۡنَٰهُ وَمَن مَّعَهُۥ فِي ٱلۡفُلۡكِ ٱلۡمَشۡحُونِ

Kwa hivyo tukamwokoa yeye na waliokuwa pamoja naye katika marikebu iliyosheheni. info
التفاسير: