Translation of the Meanings of the Noble Qur'an - Swahili translation - Rowad Translation Center

external-link copy
20 : 23

وَشَجَرَةٗ تَخۡرُجُ مِن طُورِ سَيۡنَآءَ تَنۢبُتُ بِٱلدُّهۡنِ وَصِبۡغٖ لِّلۡأٓكِلِينَ

Na mti utokao katika mlima wa Sinai, unaotoa mafuta na kuwa kitoweo kwa walao. info
التفاسير: