Translation of the Meanings of the Noble Qur'an - Swahili translation - Rowad Translation Center

external-link copy
101 : 18

ٱلَّذِينَ كَانَتۡ أَعۡيُنُهُمۡ فِي غِطَآءٍ عَن ذِكۡرِي وَكَانُواْ لَا يَسۡتَطِيعُونَ سَمۡعًا

Wale ambao macho yao yalikuwa paziani hawanikumbuki, na wakawa hawawezi kusikia. info
التفاسير: