Translation of the Meanings of the Noble Qur'an - Swahili translation - Ali Muhsen Al-Berwani

external-link copy
17 : 56

يَطُوفُ عَلَيۡهِمۡ وِلۡدَٰنٞ مُّخَلَّدُونَ

Wakitumikiwa na wavulana wa ujana wa milele, info

Wakiwazungukia kwa kuwakhudumia vijana watakao baki milele hivyo hivyo,

التفاسير: