Translation of the Meanings of the Noble Qur'an - Swahili translation - Abdullah Muhammad & Naser Khamis

As-Saffat

external-link copy
1 : 37

وَٱلصَّٰٓفَّٰتِ صَفّٗا

Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, Anaapa kwa Malaika wanaojipanga, katika kuabudu kwao, mistari iliyofuatana na kushikana, info
التفاسير: