Salin ng mga Kahulugan ng Marangal na Qur'an - Salin sa Wikang Swahili ni Ali Mohsin Al-Barwani

external-link copy
40 : 50

وَمِنَ ٱلَّيۡلِ فَسَبِّحۡهُ وَأَدۡبَٰرَ ٱلسُّجُودِ

Na katika usiku pia mtakase, na baada ya kusujudu. info

Na pia mtakasishe, Msabbih, katika saa za usiku, na baada ya Swala.

التفاسير: