[1] Basi mwenye kuibadilisha wasia, na akaupindua, na akaigeuza hukumu yake, na akaongeza kitu ndani yake. Au akapunguza, - na anaingia katika hilo (mwenye) kuificha njia ya ubora zaidi. - "Basi dhambi yake ni juu ya wale watakaoibadilisha." (Tafsir Ibn Kathir)