ߞߎ߬ߙߣߊ߬ ߞߟߊߒߞߋ ߞߘߐ ߟߎ߬ ߘߟߊߡߌߘߊ - ߛߊߥߊ߯ߤߟߌߞߊ߲ ߘߟߊߡߌ߬ߘߊ - ߙߎ߬ߥߊ߯ߘߎ-ߕߊ߬ߙߑߖߡߊ ߝߊ߲ߓߊ ߓߟߏ߫

external-link copy
45 : 2

وَٱسۡتَعِينُواْ بِٱلصَّبۡرِ وَٱلصَّلَوٰةِۚ وَإِنَّهَا لَكَبِيرَةٌ إِلَّا عَلَى ٱلۡخَٰشِعِينَ

Na tafuteni msaada kwa kusubiri na kwa kusali; na kwa hakika jambo hilo ni gumu isipokuwa kwa wanyenyekevu.[1] info

[1] Na alipowakataza kufuata matamanio yao, akawaongoza kwenye dawa ya hilo, ambayo ni maadili makubwa zaidi ya kinafsi na matendo bora ya kimwili, ambayo ni kuwa na "subira" katika kudhihirisha haki na kutotii matamanio ya nafsi zao katika hilo. Na "swala" ambayo inafikisha katika vyeo vikubwa zaidi kuliko hivyo vya kidunia. (Tafsir Al-Baqaa'ii)

التفاسير: