ߞߎ߬ߙߣߊ߬ ߞߟߊߒߞߋ ߞߘߐ ߟߎ߬ ߘߟߊߡߌߘߊ - ߛߊߥߊ߯ߤߟߌߞߊ߲ ߘߟߊߡߌ߬ߘߊ - ߙߎ߬ߥߊ߯ߘߎ-ߕߊ߬ߙߑߖߡߊ ߝߊ߲ߓߊ ߓߟߏ߫

external-link copy
117 : 2

بَدِيعُ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضِۖ وَإِذَا قَضَىٰٓ أَمۡرٗا فَإِنَّمَا يَقُولُ لَهُۥ كُن فَيَكُونُ

Yeye ndiye Muumba wa mbingu na ardhi pasina mfano wa awali; na anapotaka jambo, basi Yeye kwa hakika huliambia tu: Kuwa! Nalo huwa.[1] info

[1] Na kauli yake, "Na anapotaka jambo, basi Yeye kwa hakika huliambia tu: Kuwa! Nalo huwa," ni jawabu kwa dhana potofu ya Wakristo kwamba Mwenyezi Mungu ana mwana; ati kwa sababu kupatikana kwa Masihi bila ya baba ni dalili ya kuwa yeye ni mwana wa Mwenyezi Mungu. Kwa hivyo, Mwenyezi Mungu Mtukufu akaweka wazi kwamba kuunda vitu bila ya kutokana na kitu ni ajabu zaidi kuliko hilo la Masihi (kuwa na mama bila baba). (Tafsir Attahrir wa Attanwir cha Ibn 'Aashur)

التفاسير: