വിശുദ്ധ ഖുർആൻ പരിഭാഷ - സവാഹിലി വിവർത്തനം - റുവ്വാദ് വിവർത്തന കേന്ദ്രം

external-link copy
6 : 1

ٱهۡدِنَا ٱلصِّرَٰطَ ٱلۡمُسۡتَقِيمَ

Tuongoe njia iliyonyooka.[1] info

[1] Aya hii inajumuisha kubainisha kuwa mja hana njia ya kupata furaha yake (mafanikio) isipokuwa kwa kudumu kwenye njia iliyonyooka. Na kwamba hana njia yoyote ya kumfanya anyooke isipokuwa kwa kuongolewa na Mola wake Mlezi kuifikia; kama vile hana njia yoyote ya kumuabudu isipokuwa kwa msaada wake. Kwa hivyo, hana njia ya kunyooka kwenye njia hiyo (ya uwongofu) isipokuwa kwa uwongofu wake (Mwenyezi Mungu). (Tafsiri ya Ibn al-Qayyim)

التفاسير: