വിശുദ്ധ ഖുർആൻ പരിഭാഷ - സവാഹിലി വിവർത്തനം - റുവ്വാദ് വിവർത്തന കേന്ദ്രം

external-link copy
5 : 1

إِيَّاكَ نَعۡبُدُ وَإِيَّاكَ نَسۡتَعِينُ

Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.[1] info

[1] Mwenyezi Mungu alitaja kuomba msaada baada ya kutaja ibada ijapokuwa kuomba msaada kunaingia humo (katika ibada); kwa sababu mja katika ibada zake zote anahitaji kuomba msaada wa Mwenyezi Mungu Mtukufu. Kwani, Mwenyezi Mungu asipomsaidia, hatapata anachokitaka kama vile kutekeleza maamrisho na kuacha makatazo. (Tafsir Assa'dii)

التفاسير: