വിശുദ്ധ ഖുർആൻ പരിഭാഷ - സവാഹിലി വിവർത്തനം - റുവ്വാദ് വിവർത്തന കേന്ദ്രം

external-link copy
4 : 1

مَٰلِكِ يَوۡمِ ٱلدِّينِ

Mmiliki wa Siku ya Malipo.[1] info

[1] Kuanzia aya ya kwanza hadi aya hii, ni kana kwamba Mwenyezi Mungu aliyetakasika anasema: "Enyi waja wangu, ikiwa mnanisifu na mnanitukuza kwa sababu ya ukamilifu wa dhati yangu na sifa zangu, basi nisifuni, kwani Mimi kwa hakika ni “Mwenyezi Mungu.” Na ikiwa ni kwa sababu ya wema wangu, na ulezi wangu, na neema zangu, basi Mimi kwa hakika ndiye “Mola Mlezi wa walimwengu.” Na ikiwa ni kwa sababu ya matarajio na matumaini yenu katika siku zijazo, basi mimi kwa hakika ndiye “Mwingi wa Rehema, Mwenye kurehemu.” Na ikiwa ni kwa sababu ya hofu, basi mimi kwa hakika ndiye "Mmiliki wa Siku ya Kiyama." (Tafsiri ya Al-Alusi)

التفاسير: