ការបកប្រែអត្ថន័យគួរអាន - ការបកប្រែជាភាសាស្វាហុីលី - មជ្ឈមណ្ឌលបកប្រែរ៉ូវ៉ាដ

external-link copy
116 : 2

وَقَالُواْ ٱتَّخَذَ ٱللَّهُ وَلَدٗاۗ سُبۡحَٰنَهُۥۖ بَل لَّهُۥ مَا فِي ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضِۖ كُلّٞ لَّهُۥ قَٰنِتُونَ

Na ati wanasema: Mwenyezi Mungu ana mwana. Subhanahu (ametakasika na hayo!) Bali vyote vilivyomo mbinguni na duniani ni vyake. Vyote vinamdhalilikia Yeye kwa hofu.[1] info

[1] Katika Aya hii, kuna kukanusha Mwenyezi Mungu kuwa na mwana. Kwa sababu, Mwenyezi Mungu ndiye Muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake bila ya mfano wa awali. Basi hakuna hata mmoja katika viumbe hao anayestahiki kuwa mwanawe, bali kila kitu humo ni waja (viumbe) wa Mwenyezi Mungu Mtukufu. (Tafsir Attahrir wa Attanwir cha Ibn 'Aashur)

التفاسير: