ការបកប្រែអត្ថន័យគួរអាន - ការបកប្រែជាភាសាស្វាហុីលី - មជ្ឈមណ្ឌលបកប្រែរ៉ូវ៉ាដ

external-link copy
7 : 1

صِرَٰطَ ٱلَّذِينَ أَنۡعَمۡتَ عَلَيۡهِمۡ غَيۡرِ ٱلۡمَغۡضُوبِ عَلَيۡهِمۡ وَلَا ٱلضَّآلِّينَ

Njia ya wale uliowaneemesha. Siyo ya wale waliokasirikiwa, wala waliopotea.[1] info

[1] Kisha (Mwenyezi Mungu) akaeleza kuwa njia ya watu wa uwongofu huu ni tofauti na njia ya watu wa waliokasirikiwa na watu wa upotovu. Hivyo basi, viumbe wakagawanyika katika makundi matatu kuhusiana na uwongofu huu: Aliyeneemeshwa kwa kuupata kisha bahati yake katika neema hiyo ikaendelea kulingana na bahati yake katika maelezo yake na migawanyiko yake. Na (kundi la pili) mpotevu ambaye hakupewa uwongofu huu, na wala hakufanikiwa kuupata. Na (kundi la tatu) aliyekasirikiwa; ambaye aliujua (uwongofu) lakini hakuwezeshwa kutenda kama (uwongofu )unavyohitaji. (Tafsiri ya Ibn al-Qayyim)

التفاسير: