ការបកប្រែអត្ថន័យគួរអាន - ការបកប្រែជាភាសាស្វាហុីលី - អាលី ម៉ុហសុីន អាល់ពើវ៉ានី

Al-Ikhlas

external-link copy
1 : 112

قُلۡ هُوَ ٱللَّهُ أَحَدٌ

Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. info

Ewe Muhammad! Hao wanao sema kwa kejeli, "Tusifie Mola wako Mlezi.": waambie: Yeye ni Mwenyezi Mungu wa pekee hapana mwenginewe, wala hana mshirika.

التفاسير:

external-link copy
2 : 112

ٱللَّهُ ٱلصَّمَدُ

Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. info

Mwenyezi Mungu Mwenye kukusudiwa peke yake katika haja zote, na yote yanayo takikana.

التفاسير:

external-link copy
3 : 112

لَمۡ يَلِدۡ وَلَمۡ يُولَدۡ

Hakuzaa wala hakuzaliwa. info

Hana mtoto wala hakuzaliwa na baba wala mama,

التفاسير:

external-link copy
4 : 112

وَلَمۡ يَكُن لَّهُۥ كُفُوًا أَحَدُۢ

Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. info

Wala hana yeyote aliye mshabihi, au mfano wake.

التفاسير: