ترجمهٔ معانی قرآن کریم - ترجمه‌ى سواحلی ـ علی محسن البروانی

external-link copy
88 : 26

يَوۡمَ لَا يَنفَعُ مَالٞ وَلَا بَنُونَ

Siku ambayo kwamba mali hayato faa kitu wala wana. info

Siku ambayo hapana mtu ataye nafiika kwa mali ayatoe, au kwa wana wamsaidie.

التفاسير: