আল-কোৰআনুল কাৰীমৰ অৰ্থানুবাদ - শ্বাহিলি অনুবাদ- ৰুওৱাদ অনুবাদ চেণ্টাৰ

external-link copy
181 : 2

فَمَنۢ بَدَّلَهُۥ بَعۡدَ مَا سَمِعَهُۥ فَإِنَّمَآ إِثۡمُهُۥ عَلَى ٱلَّذِينَ يُبَدِّلُونَهُۥٓۚ إِنَّ ٱللَّهَ سَمِيعٌ عَلِيمٞ

Na atakayeibadilisha (wasia) baada ya kuusikia, basi dhambi yake ni juu ya wale watakaoibadilisha; hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia Mwenye kujua. info

[1] Basi mwenye kuibadilisha wasia, na akaupindua, na akaigeuza hukumu yake, na akaongeza kitu ndani yake. Au akapunguza, - na anaingia katika hilo (mwenye) kuificha njia ya ubora zaidi. - "Basi dhambi yake ni juu ya wale watakaoibadilisha." (Tafsir Ibn Kathir)

التفاسير: